Tayari albamu ya mwanamuziki wa siku nyingi Mbilia Bel iko mtaani...moto wa kuotea mbali kwa wale wanaopenda muziki wa Rhumba ya kiafrika...moja ya nyimbo zilizopamba album hiyo ni huu hapa... Bofya hapo chini:
Baada ya hapo unaweza kusikiliza nyimbo zinazotamba huko DRC kwenye video kwa kubofya kwenye vi-box vidogo vinavyojitokeza.
WANANCHI MWANZA WAHIMIZA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
14 minutes ago

0 comments:
Post a Comment