Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, June 29, 2011

Kwangu mimi Michelle na Mumewe Barack nawaona kama waalimu kwenye majukwaa. Sizungumzii hasa kile wanachokiamini na kukisema kila uchao lakini nazungumzia mtindo wao wa kumiliki majukwaa na kujenga hoja. Bila shaka nina mengi ninayojifunza kutoka kwao , nawe pata muda msikilize ...nadhani utajifunza kitu...!

0 comments: