Vikosi vya waasi vinavopambana na Majeshi yanayomtii Kanali Qadhafi huko Libya. Baada ya kazi ngumu ya saa nyingi...muda wa kupumzika umefika unaweza kuona mazingira ya kulala ya mwanajeshi aliye vitani...
Hapo chini vikosi vya Canada vikiendeleza mapambano katika mashamba ya mihadarati na majengo yaliyohamwa huko kusini mwa Afghanistan. Vita kitu kibaya sana. Kinachowindwa hapo ni roho za watu tu..
Mke wa Dk Nchimbi amuombea kura Rais Samia, wabunge Tanga
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment