Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, August 22, 2011

Kilometa chache kutoka eneo ambalo kulitokea ajali tulisimamishwa na polisi wa usalama barabarani akitaka kulikagua gari. Mara akamuita dereva nyuma ya gari ...akamwambia" Gari yenu halina kosa ila hamuwzi kuondoka hivi hivi , lazima muache kitu". Dereva akampa shillingi elfu tatu, jamaa akatia mfukoni. Nikajaribu kuchukua picha tukio hilo nikabahatisha hizi mbili. Ikaniuma sana . imeniuma kuelewa kwamba rushwa imefika pasipo pake. simulizi hii nitaiendeleza siku nyingine. hali ya nyumbani.

0 comments: