Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, September 24, 2011

Jaji Mkuu wa Zambia Ernest Sakala jana Ijumaaa mchana alimwapisha Bw. Michael Satta kuwa raisi Mpya wa tano wa Zambia katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya mahakama kuu nchini humo.
Viongozi kadhaa walihudhuria pamoja na maelfu ya wananchi wa nchi hiyo, ambapo Raisi aliyeshindwa Rupia Banda wa chama cha MMD alikabidhi bendera na katiba ya nchi hiyo kwa mwenzake kama ishara ya kuiachia Ikulu..

0 comments: