Jana Jumatatu hapa Jijini Tokyo, Japani kulikuwa na sherehe ya kufana katika jengo la Shirika la Utangazaji la Japani -NHK ambapo studio mpya ya kisasa ilifunguliwa.
Idhaa ya Kiswahili nayo haikuwa nyuma , tulikuwa na mwanamuziki wa kijapani anayeimba nyimbo za kiafrika Erico Mukoyama , maarufu Anyango. na nyinginezo ambaye aliwaburudisha watu waliopita kushuhudia tukio hilo. fuatilia picha na video inayoeleza kwa muhtasari juu ya tukio hilo...
Dira Ya Dunia
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment