Washindi walipatikana. Wa kwanza ni huyu Bi. Rie Teraguchi. Huyu ni muongeaji mzuri wa Kiswahili kama walivyo wenzake wawili, Mshindi wa pili na watatu. . Simulizi yake ilikuwa ya kusismua sana. Alipata mtoto wa pili siku moja tu baada ya maafa ya Japani, wakampa jina mtoto wao 'Sala au maombi..wakati wakiwa Tanzania. Alikaa Mwembechai , Dar...na akatoa simulizi juu ya maisha ya eneo hilo... wote walifanya vyema , lakini hawa ni washindi...
Picha za chini hapo... Mshindi wa pili, Bi. Natsuki Wada (Karanga)...
Mshindi wa tatu, Bi. Haruka Nakamura..
Jinsi ya kuwashinda duma kukimbia
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment