Hapa ni shibuya , Katikati ya Jiji la tokyo nilikopata mlo wangu wa mchana leo. Nyama za kuchomwa kiaina..
a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgXnLNb2I-XRS6tsF75qQe-JfnhboJ18XHBB5_1m7Oik-cFmSlTKs_Ytq7aVCBQeqJA6fDjZvfZaJ5AihJ2n7RdH5EZ7K7sw69iXFc3n7iV6opby9oz10xRJKx7vfiag15TG3k-TOXmBpU/s1600/PICT0013.JPG">a
Waturuki na Wa-Syria wamechangamkia sana biashara ya vyakula hapa Tokyo. Leo "J1" nilivinjari katika eneo la Shibuya nikakutana na menyu hii maarufu. yale maandalizi tu ya nyama yamenifurahisha. Ila nimechukia kitu kimoja "No Mfupa" Why???
Mmmh ntamu. JIna la msosi huu silijui lakini bila shaka kuna nyama, mkate , wali Mayonaiz ,nyanya na viambato vingine
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Showing posts with label Mirindimo. Show all posts
Showing posts with label Mirindimo. Show all posts
Posted by
BM.
on
Friday, April 09, 2010
Labels:BM
Mirindimo
Subscribe to:
Posts (Atom)