Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, March 26, 2009

Japani ni nchi ya milima na ina mishituko ya mara kwa mara ya matetemeko. Linapotokea inakuwa balaa hebu angalia picha hizi …hili lilitokea mwaka 2004 maeneo ya Hakozaki –Hapa Japani. Ni unatakiwa kufanya likitokea tetemeko. Habari zaidi utazipata katika makala ya kila wiki katika blog hii inayoitwa Mirindimo ya Jumamosi. Hakikisha kila wiki unapitia makala hiyo.

0 comments: