Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 25, 2009

Nchini Afrika ya kusini kuna mjadala hivi sasa juu ya nani kati ya wake wa Jacob Zuma atatambuliwa rasmi kuwa ndiye mama wa taifa ,First Lady. Idadi ya wake zake inatajwa kuwa ni sita na watoto 18. Mamlaka iko mikononi mwake kuamua nani awe First lady. Huyu ndiye mke mkubwa wa Zuma lakini nafasi yake ni finyu sana kupata nafasi hiyo.

0 comments: