Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, April 02, 2009

Akina dada hawa wanaojiita wanaharakati wakiwa wanaandamana mitaani kama unavyowaona huko Uhispania kupinga mchezo wa kupambanisha madume ya Ng-ombe.Wanasema watu wanapowashangaa ujumbe unafika...haya ingekuwaje ingekuwa kwetu Manzese uwanja wa fisi ...sijui !


0 comments: