Akina dada hawa wanaojiita wanaharakati wakiwa wanaandamana mitaani kama unavyowaona huko Uhispania kupinga mchezo wa kupambanisha madume ya Ng-ombe.Wanasema watu wanapowashangaa ujumbe unafika...haya ingekuwaje ingekuwa kwetu Manzese uwanja wa fisi ...sijui !
TANZANIA NA SOMALIA WASAINI MKATABA MASUALA YA KIUHAMIAJI
32 minutes ago

0 comments:
Post a Comment