Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, May 14, 2009

Norma Stitz mkazi wa Atlanta, Georgia nchini Marekani ameingia rasmi kwenye kitabu cha rekodi za dunia cha Guinness na kutambulika kama mwanamke mwenye matiti makubwa ya asili kuliko wanawake duniani, matiti yake yana ukubwa wa sentimeta 72 na uzito wa kilo 24. ViDEO yake mwisho wa habari hii.
Norma Stitz ndiye mwanamke anayevaa sidiria kubwa kuliko zote duniani akiwa na matiti makubwa ya asili ambayo hayawahi kufanyiwa operesheni yoyote ile ya kuyaongeza.Norma aliingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia kwa mara ya kwanza mwaka 1999 wakati huo matiti yake yakiwa na kipimo cha 70-48-52 na sidiria yake ilikuwa saizi 48V.Hivi sasa Norman amezidi kujiweka sawa katika rekodi yake hiyo kwani hivi sasa akiwa na umri wa miaka 30 matiti yake yameongezeka ukubwa na saizi ya sidiria yake ni 120XXX na kila titi moja lina uzito wa kilo 12 huku uzito wa mwili wake kwa ujumla ni kilo 157 hivi sasa.Norma Stitz mwenye umri wa miaka 30 anasema kwamba anafurahia ukubwa wa matiti yake ingawa watu wengi humuuliza "kwanini hufanyi operesheni ya kuyapunguza?".Norma anasema kwamba tatizo kubwa analopata kutokana na ukubwa wa matiti yake ni wanaume anaokutana nao kushindwa kabisa kuzungumza chochote na kubaki wakiyakodolea macho matiti yake."Nataka wanaume wavutike na mimi kama nilivyo sio wavutiwe na matiti yangu tu" alisema Norma.Norma amesema kwamba amekuwa akipata mialiko kwenye televisheni mbali mbali duniani ili kuyaonyesha matiti yake.Norma hivi sasa anajishughulisha kupiga picha za ngono na anaendesha tovuti yake binafsi ambayo humo anamwaga radhi kwa mapicha yake ya ngono

0 comments: