Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, June 18, 2009


Raisi Barack Obama akiwa ameketi katika ngazi za ubalozi wa Marekani ulioko Paris nchini Ufaransa , huku wasaidizi wake wakimzunguka. Kijua kilimvutia. Ikulu ya Ufaransa walilishangaa tukio hilo. inapendeza!.

0 comments: