
Raisi Barack Obama akiwa ameketi katika ngazi za ubalozi wa Marekani ulioko Paris nchini Ufaransa , huku wasaidizi wake wakimzunguka. Kijua kilimvutia. Ikulu ya Ufaransa walilishangaa tukio hilo. inapendeza!.
Wanawake wa TRA Morogoro Wawafariji Watoto Yatima na Wazee
12 minutes ago

0 comments:
Post a Comment