Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, June 19, 2009


Binaadamu kila kukicha anataka kufanya kitu kipya ambacho pengine kilikuwa hakijafanyika. Wataalamu wa Shirika la anga za Juu NASA wanakiri kwamba si rahisi kufanya mapenzi huko kwenye space.Tatizo kubwa ni ila hali ya kutokuwa na force of gravity kwa maana kwamba wapenzi hawawezi kushikana na kufanikisha tukio hilo kwani kila mmoja huelea kivyake (zero gravity)
Kumekuwa na maswali kutoka kwa watu wengi wanaouliza kama wanaweza kutembelea International Space Station pamoja a wapenzi wao na kufanikiwa jambo hilo ili hatimaye kujiweka kwenye kitabu cha kumbukumbu cha matukio makubwa duniani kiitwachoGuinness.Kuna mwanaanga mmoja Richard Branson anapanga kupeleka watalii zaidi huko pia zaidi ya watu kuomba wawe wa kwanza kufanya mapenzi huko bado wapo waaoomba kwenda kufanya movie.
Wataalamu wanadhani kwamba ili watu waweze kufanya mapenzi kuna ulazima wa kutengeneza kifaa mfano wa shuttle (basi) ambalo ndani yake wataweka vifaa maalumu kuwawezesha wapenzi kufanikisha ufanyaji wa mapenzi (love handles)
Kufanya mapenzi bila nguvu ya uvutano (zero gravity) hakuna uzuri wowote kwani inaweza kusababisha kuchefuchefu kwa wahusika, na pia hatari kubwa ni kwamba watu wakiwa Space Station hujisikia kupata low blood pressure na ni wazi kuwa low blood pressure hupelekea damu kutozunguka sehemu zote za mwili na damu kutozunguka sehemu zote za mwili maana yake ile kitu haiwezi kusimama na hata kama ikisimama si kwa muda

0 comments: