Raisi Jakaya kikwete leo anasherehekea miaka 59 ya kuzaliwa kwake . Alizaliwa katika Kijiji cha Msoga wilayani Bagamoyo tarehe 7, Oktoba , 1950. Kila la Kheri Mh. Rais. Picha kama hiyo chini alipokuwa jeshini bila shaka inamjia akikumbuka enzi za ujana ...za Pilikapilika za maisha!
Amka Na BBC
2 hours ago

0 comments:
Post a Comment