Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, November 07, 2009


Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamadi, Ikulu Mjini Zanzibar . Kulia ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa CUF, Bw. Ismail Jusa.Bw. Shariff alikwenda Ikulu kufanya mazungumzo na Raisi Karume Ikulu. (Picha na Ramadhan Othman Ikulu)

0 comments: