Dar Leo J2 Mchana! Kama hujafika hapa hujafika Dar ...Uongo , Kweli?...Usijibu! Unaikumbuka Gogo Hoteli enzi zake , wajanja lazima wafike hapo. Leo mchana ilikuwa katika sura hii ...ukarabati! Chombocha kuelekea kwetu Kigamboni ! Kumuenzi mwalimu J.K.Nyerere kwa ofisi mpya...Dar.
Mwandishi wa habari wa Kimataifa mgosi Peter Omari akiwa tete na Mwakilishi mkazi wa mashirika ya UN nchini Tanzania Alberic Kacomara ofisi kwake Kinondoni Dar es Salaam.
Foleni ya Buguruni Bandari ya salama hii leo....
Dira Ya Dunia
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment