Mdada huyu huko Vwawa , Mbozi alipanda ndani ya basi na kitoweo chake na alipokuwa akishuka ndio nguruwe alipoguna na watu wakagutuka . Lakini kwa furaha alisema kuwa alikuwa rafiki yake wa karibu na hakuwa na tatizo naye. Duh!.
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
6 days ago

0 comments:
Post a Comment