Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, December 19, 2009


Mdada huyu huko Vwawa , Mbozi alipanda ndani ya basi na kitoweo chake na alipokuwa akishuka ndio nguruwe alipoguna na watu wakagutuka . Lakini kwa furaha alisema kuwa alikuwa rafiki yake wa karibu na hakuwa na tatizo naye. Duh!.

0 comments: