Mdada huyu huko Vwawa , Mbozi alipanda ndani ya basi na kitoweo chake na alipokuwa akishuka ndio nguruwe alipoguna na watu wakagutuka . Lakini kwa furaha alisema kuwa alikuwa rafiki yake wa karibu na hakuwa na tatizo naye. Duh!.
TUTAKUWA WAKALI- DKT AKWILAPO
3 hours ago

0 comments:
Post a Comment