Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, December 14, 2009

Kunako chombo...speed boat . Paparazi wa Kimataifa Peter Omari akiwa katika majukumu ya kukusanya habari huko Zanzibar Leo J3 mchana. Fuatilia taarifa kwa njia ya picha. Mgosi usikose kuonja mishikaki ya forodhani, na shurti ule miwili. Unguja raha anayetaka na aje! eeh tunakaribia...
Vo hapo bandarini Ungujaa! Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja zanzibar...
Usafiri hapo Forodhani waelekea kwetu Bwejuuu! Bwawani hoteli muonekano wa leo mchana...
Mitaa ya mji Mkongwe ...eneo hili ni uriyhi wa dunia unaotambuliwa na Umoja wa Mataifa. Ngome Kuu ndani ya mji Mkongwe -Unguja

0 comments: