Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, January 20, 2010

Aisee tuma salamu bass!
Napenda kutuma salamu za mwaka mpya na krismas ya mwaka jana kwa wafuatao; Karuwa,Kimario,Kimambo,Mlimira,Mboya,Kissamo,Tarawia,Mghase,Mariki,Ndetirimisho,
Masoyi,Lelo,Nkya,Kiwia,Mawalla,Masawe,Mangi,Mushi,Kilasara,Kavishe,Mamuya,Mosha,Muro,
Mariale,Manka,Keku,Shirima,Lyimo,Ngowi,Lyatuu,Temba,Munuo,Mtei,Mmari,Kirumbuyo,Mkonyi,Tarimo,Munisi,Lema,Lauwo,Kessy,Mtuy,Kisomo,Moshy na Mkonyi.Eliringia,Otaru,Orotha,Lekule,Matemu,Ndetegetso,Mashingo,Mashingia,Shose,Ndakidemi,Sillayo ,Malewao,Mlay,Lauwo,Tairo,Mrosso,Shoo,Maeda,Swai,Mauki,Shayo,Kimaro,Soka,Mkenda,Makundi, Mangesho,Tilya,Kinabo,Mtei,Ulomi,Njau,Sirili,Materu,Minja,Kiwali,Maro,Ndossy,Kway,Meela,Mallya,Ndanshau,Shio,Asenga,Olomi,Macha na wale jirani zenu watani wenu wa enzi na enzi Wapare wanaosifika kwa ubahili. Yesu na Maria thijui nimemsahau Mrema!!Jamani kama thijamsahau thalamu zake thimfikie kapisa lanye. UJUMBE:Tudumishe mila setu na safari hii ndugu sangu hakuna kisingsio eti,vijana wa Majembe wanafanya kasi sio mcheso ,nauli sitakuwa bure kabisa hapo mpo jamani?? Aika Molyi,
aika mao,aika mae,aika ngoso,aika ndao aika mbee kanyi!!!!!
lete yako nawe....

0 comments: