Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, January 11, 2010

Usiku wa kuamkia leo J3...Jan.11 kulikuwa na mnuso wa haja jijini Tokyo katika Viunga vya Chofu kwa Comrade KK. Yaliyojiri ni mengi lakini kwa muhtasari nenda sambamba na kamera ya MIRINDIMO. mwenyeji wetu Dr. Kamu K na Katibu Mkuu wa Tanzanite Mr. MwombekiJnr. Katibu Mkuu wa Chama cha watanzania wanaoishi japani TANZANITE katika hafla hiyo.
Abby na mwenza Jamila na pembeni mdau Job Msuya kwa pembeni ..imetulia! Kamati ya ufundi. Kutoka kushoto Jonas Songora, Herman Mpangile na Mr. Donald Faustine...shughuli ilidhibitiwa... href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhiXzYQutZKo2Td_sl0fnYlrFKCQ8OC5AJiFAIcHBRjItsqGbGA40uS3MdvLeLwrdy4A9OzQdtDoSu_c1gb56-f3U7KuDS44PjdUnJQbyh2ImSsuVDlOYrnaS7jrl55cUPM-epyaOIkakk/s1600-h/FORCE+1+025.jpg"> Dr. KK timu mwenyeji ...na wageni waalikwa ...Kulia kwake Bw. Francis Mussongo aliyefanikisha mijadala ... imependeza! Benchi la Ufundi Kamarade Ndesika na mie, kamera imebidi niipokeze nami nifotolewe..... shughuli ni watu...Kushoto mamdogo Kavishe , kulia Bi. sabina!....imetulia.
Mweka hazina Msaidizi Tanzanite Mrs.Fatma Simba na Katibu Mkuu Mr. Mwombeki Jnrwalikuwepo.. Job Msuya , Mama Koku na Bi. Koku . Dah ! take 5.Ma Koku tumekubali! No Komenti...Hai tebo; Leticiz, Jamila Fatty Simba Hoja inapojengwa , hakuna linaloharibika...! Mrs.Singu, katika eneo tete la hafla hii... @Kwani ilikuwaje Jamila?..(Anza L-R; Leticia, Jamila..Mabesti wanapoteta...nahisi tu au nimechemsha? Itifaki imezingatiwa...Ninachosema!
Bro Amani Paul akitoa hoja ya kuunga mkono hoja ya uanzishaji wa mradi kabambe wa ...naniii!!
Hoja inapojengwa hakuna linaloharibika......Donald haya yanazungumzika tu...!. Ameelewa. Wageni waalikwa tabasamu la mjadala...!Herman Mpangile! hapo

0 comments: