Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, February 01, 2010

Timu ya mafarao wa Misri wamelibeba kombe la Africa katika mechi kali iliyofanyika jana huko Angola. Ni mchezaji Mohamed Gebo aliyefunga bao la pekee katika dakika ya 85 na kuiwezesha timu yakle kuchukua kombe hilo kwa mara ya tatu mfululizo . Tayari inakuwa mara saba sasa katika vipindi tofauti kombe hilo kuchukuliwa na tomu hiyo ya taifa ya nchi hiyo. Sasa Nguvu kombe la dunia 2010. Hongereni Mafarao!
Hebu pata fursa ya kuwajua wachezaji wa Misri waliotwaa kombe la Afrika 2010.

0 comments: