Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, February 06, 2010


wachimbaji wadogo wadogo wa dhahabu katika mgodi wa Chudja Kilomoto kaskazini mashariki mwa DRC wakihangaika kutafuta riziki. Mazingira ya kazi ni magumu na hatari ...lakini mkono azima wende kinywani.

0 comments: