Wanajeshi wa Marekani wakiwa vitani nchini Afghanistan , baada ya kutembea bila kupumzika kwa siku sita usiku na mchana huku wastani wa Joto ni digrii za selsiasi 40 . Sasa eneo la kupumzika kila mtu anatakiwa aandae kitanda kwa kuchimba hapo na kulala kwa saa sita kabla ya kuendelea na safari...kazi ipo mkubwa!
Uchaguzi Tanzania 2025: Tanzania kupiga kura Oktoba 29
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment