Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, March 19, 2010

Koffi Antonio Olomide na mwanamuziki ninayemkubali sana kwa ubunifu wake wa kutumia michanganyiko ya sauti na vikorombwezo vingi katika mirindimo ya muziki wake. Hebu fuatilia muziki huu unaokisifia kinywaji cha SKOL , amebadili muziki mara saba huku akifungamana na sauti tamu ya kike. Kwa wale wenye taste hii wata-enjoy wengine najua...wala!

0 comments: