Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 20, 2010

Mkutano wa viongozi waandamizi wa Afrika unaohusu uongozi na vyombo vya habari.


Kwa hakika msimamo wa viongozi wetu hawa ungehamishwa kivitendo bila shaka Afrika ingekuwa mbali hii leo. Hebu msikilize Raisi Paul Kagame wa Rwanda, Waziri Mkuu wa Kenye Raila Odinga, Raisi Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa na mjumbe mwingine wa mkutano huo.


Mnyama duma (Jamii ya chui) aitwaye Reyna akipata matibabu ya meno katika kliniki ya wanyama huko Envigago, Colombia


Nancy Pelosi, Mwanamke shupavu nchini Marekani ambaye ana wadhifa wa Spika wa Bunge la Congress la nchi hiyo.


Victoria , Mke wa Mwanasoka maarufu duniani David Beckham (Picha ya chini) akitoka katika kliniki ya michezo ya Turku, nchini Finland ambako alimpeleka mumewe aliyeumia mguu siku chache zilizopita


David Beckham

0 comments: