
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda (Kushoto) akiongea na Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Joseph Mungai katika viwanja vya Bunge, Dodoma .
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda anatarajiwa kuitembelea Japani kuanzia Jumatano ijayo th.24/3/2010 mpaka th.27/3/2010. Pamoja na kukutana na Viongozi wa Juu wa Serikali ya Japani pia anatarajiwa kukutana na Watanzania wanaoishi hapa siku ya Ijumaa tarehe 26/3/2010. Kwa mujibu wa taarifa Kutoka kwa uongozi wa Jumuia ya Watanzania wanaoishi Japani -TANZANITE , Mkutano huo utafanyika katika Hotel ya New Otani iliopo jijini Tokyo wakati wa jioni.
DKT. MWIGULU: ACHENI UBOSI KWENYE KAZI ZA WATU
4 hours ago

0 comments:
Post a Comment