Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, April 18, 2010

Nimesoma kwenye ; www.wavuti.com post hii nikagushwa sana na kumbukumbu nyingi zimenijia kichwani. Si mbaya tukajikumbusha tulikotoka. Siku moja nami nitaandika kile ninachokikumbuka nilipoingia kwa mara ya kwanza RTD kwenye Jengo la "Utangazaji barabara ya Nyerere jijini Dar Es salaam.", enzi hizo. Asante sana Da Subi na Issa Michuzi na mdau Monsignor. Wenye shauku ya kusoma habari za watangazaji wa zamani wanaweza kubofya hapa ; www.issamichuzi.blogspot.com


(Picha kwa Hisani ya Kiluvya Pub, Kibaha)Hapo ni studio za BBC Bush House London, Bro. Charles Hillary Nkwanga akiwa na mtangazaji Waziri Hamsin wakiwahoji wadau masuala ya soka . Karibu yako upande wa mbele (Kushoto) ni Mwenyekiti wa Kiluvya Pub kibaha(www.kiluvyaspub.blogspot.com) na mdau mwingine wa soka Israel Saria katika kipindi cha Ulimwengu wa soka -BBC

0 comments: