Kocha Mchezaji Nico Nyagawa akipokea kombbe la Ubingwa wa Vodacom -Bara baada ya kuiburuza Dar Young African Magoli 4-3. Mkabidhi Kombe Prof. Juma Kapuya, Waziri wa Kazi na ajira. Kulia Raisi wa TFF.Habari ndio hiyo...
Machozi ya furaha; Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali . Alihemewa.
Mchezaji Hillary Echessa akishangilia baada ya kufunga goli la nne la ushindi. Pembeni kulia ni mchezaji Emmanuel Okwi.
(Picha zote na wanalibeneke waandamizi.)
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
55 minutes ago

0 comments:
Post a Comment