
Waziri Mkuu wa Uingereza Godown Brown (katikati) , mkewe Bi Sarah kushoto na Mkurugenzi wa huduma za Afya leeds Yeadon huko Uingereza Sam Prince wakifunguliwa mlango kiaina kuingia katika ofisi za Afya. Aina hii ya ufunguaji mlango imenifurahisha.
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
10 hours ago

0 comments:
Post a Comment