Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, May 09, 2010

Nchini Japani kuna utaratibu ambao nauona ni mzuri. Kuna siku ambayo watu hujiandikisha majina yao katika ofisi ya NGO fulani halafu husambazwa maeneo fulani fulani kufanya usafi kwa kujitolea. Utaratibu huu ungefanyika kwentu Afrika Mashariki ungependeza sana , au unasemaje mdau!

Shughuli za usafi jiji Tokyo leo J2.

1 comments:

Anonymous said...

Ni kweli kaka utaratibu huo unafaa sana hapa Jiji Dar es salaam.