Kuna kitu kwa kisukuma kinaitwa Investigative journalism ama kwa kiswahili uandishi wa habari za kiuchunguzi katika fani ya uandishi wa habari. Mwandishi huyu wa KTN Kenya Mohamed Ally ameifanya aina hii ya uandishi kwa umahiri wa kiasi cha kutosha , pengine alikosa tu vifaa vya kisasa zaidi. Hebu ungana naye halafu unipe maoni yako.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
9 hours ago
1 comments:
HUYU NI MWANAZUONI MAHIRI NA MAKINI KATIKA TASNIA YA HABARI NA MAWASILIANO KWA UMMA.NI JUKUMU LA MADHAMANA KUMPATIA MISAADA KAMILI ILI AENDELEE KUUTUMIKIA UMMA KWA UFANISI.
Post a Comment