Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, July 04, 2010

Jioni ya leo J2 Mjapani mmoja ambaye ana mapenzi makubwa na waafrika alitualika nyumbani kwake. Huyu ni Hiroshi Ikeuchi ambaye anazifahamu sana nchi za Afrika ya Mashariki, mtaa kwa mtaa.Kwahakika ilikuwa hafla nzuri sana iliyowajumuisha washiriki kutoka mataifa ya Tanzania, Uganda, Botswana na zambia na karibu wote walikuwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikuu hapa Japani isipokuwa wachache kama miye....Ilikuwa jioni njema tulikunywa , kula na kuzungumza na kubadilishana taarifa .

Mdau kutoka Tz...


Wadau wakijikusanya M-Zambia kushoto na M-Tz kulia.


M-Tz Bi. Recho..

0 comments: