Eneo hili nimelipenda sana lipo mjini Arusha , wajasiriamali wanauza bidhaa za kitamaduni...jambo bei yake pia inapendeza...inawalipa...take five wote wanajishughulisha hapo.
Kiota kipya kinachotamba hivi sasa mjini Arusha , Kipo karibu kabisa na Polisi Mkoa kwa supu na ugali mwepesi...hakuna maswali..
Dira Ya Dunia
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment