Video ya staili hiyo imekuwa gumzo online lakini imekumbwa na shutuma kali toka kwa makundi ya kutetea haki za wanyama PETA.
Msanii huyo hakuelezea aliipataje miguu mingi ya nzi aliyoitumia na hakutaka kutoa maelezo yoyote alipotakiwa kufanyiwa hivyo. Unaweza kuangalia hapo chini kwenye video.
object width="640" height="385">
MAMIA WASHUHUDIA UZINDUZI WA SAMIA LEGAL AID MKOANI PWANI
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment