Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, October 22, 2010

Mtangazaji wa Redio Japani Bi. Anna Kwambaza hivi karibuni alipata fursa ya kutembelea eneo la kihistoria la Hiroshima ambako bomu la atomiki lilidondoshwa na majeshi ya Marekani mwaka 1945 , mwishoni mwa vita vya pili ya dunia.
Hii ni sehemu pekee duniani ambako silaha ya maangamizi ya atomiki imetumika...unaweza kufuatilia historia hiyo kwa muda wako hapo chini.
Mdau hapo akiwa mbele ya Kuba la bomu la atomiki Hiroshima. Lilidondoshwa hapo na kuacha mabaki hayo



Safari ya kileleni kwa kutumia rope car huu ni mlima Misen ili kuuona mji wote wa Hiroshima kutoka Juu

Watangazaji wa Redio Japani; Anna kwambaza na Chiho Yamada wakiwa Hiroshima , Japani....



Baada ya kazi...msosi...chakula kinaitwa okonomiaki inataka uvumilivu ulozoea pilau na samaki wa tui bubu

0 comments: