Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, October 24, 2010

Polisi wa kutuliza ghasia nchini Ufaransa wakimchukua juu juu kijana mmoja ambaye alikuwa mmoja wa waandamanaji huko Lyon kupinga mipango ya serikali ya nchi hiyo kuongeza umri wa kustaafu na kusogeza mbele muda wa kuchukua mafao ya wazee. Hii inakuaje!

0 comments: