Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, October 31, 2010

Mwanamuziki huyu Malkia Nvannungi ni moto wa kuotea mbali kule nchini Uganda unaweza kusikiliza nyimbo zake hizo mbili....ya kwanza Doctor na ya pili hapo chini ameimba na Q-Chillar kutoka Tanzania ... kama wewe ni mpenzi wa rumba la taratibu naamini utasuuzike......take 5, Nvannungi nakukubali...

Nakupenda...

0 comments: