Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, November 21, 2010

Paleeee ndipo tulipotoka palipodoswa bomu...


Jengo la makumbusho ya amani ya Hiroshima...



Mji wa Hiroshima kabla ya bomu kudondoshwa


Mji wa Hiroshima baada ya kudondoshwa kwa bomu la Nyuklia...

kwa kawaida Safari inaanzia katika jengo la makumbusho ili kupata maelezo ya kutosha kabla hujaenda pale lilipodondoswa... Mnara huu ni kwa ajili ya watu wote waliokufa katika tukio hilo...na wale wanaende;lea kufa hadi sasa kutokana na mnunurisho (radiation) ya bomu la atomiki... Chini hapo kuna box la jiwe lililohifadhi majina zaidi ya Elfu tano. Eneo hili watu walitapatapa kabla ya kukata roho kutokana na kiu...na ndio maana ukawekwa mfereji wa maji kama ishara ya kuwapumzisha katika makazi yao ya milele bila kiu.

0 comments: