Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, November 11, 2010

KAMATI KUU LEO IMEPENDEKEZA MAJINA MATATU YA WANA CCM WATAKAOGOMBEA NAFASI YA USPIKA KATI YA WAGOMBEA 13 WA CHAMA HICHO WALIOJITOKEZA. MMOJA WAO NDIYE ATAYETEULIWA KUSIMAMA KUGOMBEA BAADA YA KUPITISHWA NAO NI MH. ANNA ABDALLAH,MH. KATE KAMBA NA MH. ANNA MAKINDA.

Kamati Kuu ya CCM ikijadili majina ya watu wanaowania Uspika ...


Wagombea wakisubiri zamu ya kujieleza kwenye Kamati Kuu ya CCM...


Mh. Samweli Sita akitoka baada ya kuhojiwa na kamati Kuu ya CCM...


Mh. Anna Makinda


Mh. Anna Abdallah...


Mh. Kate Kamba...


MAJINA YA WANAOWANIA UNAIBU SPIKA YANATAKIWA YAFIKE OFISI ZA BUNGE KESHOKUTWA NOVEMBA 15, 2010.

KATIBU MKUU WA CCM YUSUF MAKAMBA AMESEMA SASA HIVI KWAMBA KAMATI KUU YA CCM IMEAMUA KWA MAKUSUDI KUMPA NAFASI MWANAMKE KUONGOZA MOJA WA MIHIMILI MITATU YA NCHI KWA MARA YA KWANZA KATIKA HISTORIA YA JAMHURI YA MUUNGANO.

0 comments: