Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, November 11, 2010


Mh. Anna Makinda(Pichani)amechaguliwa na kuwa Spika Mpya wa Bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na hivyo kuvivaa viatu vya Mh. Samweli Sita ambaye alipunguzwa na Kamati kuu baada ya kura za wajumbe wa kikao hicho kutotoshelezwa. Makinda amemshinda Marando kwa kura nyingi kama ilivyotarajiwa .


Mh. Sita akiapishwa na Mh. Makinda..kuwa mbunge mwaminifu wa bunge hilo.
Katika bunge lilopita Bi Anna Makinda alikua Naibu Spika ambapo Mheshimiwa Samwel Sitta ambaye pia ni Mbunge wa Urambo Mashariki alikua Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu ni spika wa kwanza Mwanamke tangu Tanganyika na hatimaye Tanzania ilipopata uhuru...

0 comments: