Mh. Free Man Mbowe amechaguliwa na chama chakle kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni....
Zito Kabwe Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni...(CHADEMA). Mnadhimu Mkuu wa kambi hiyo ni Mh. Tindu Lisu. CUF wamesema kuwa nao wanaanzisha kambi yao Bungeni, tutasubiri ufafanuzi wa Mh. Makinda, Spika juu ya jinsi kambi hizo zitakavyofanya kazi..
Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili
24 minutes ago

0 comments:
Post a Comment