Mbunge mpya wa Jimbo la Kondoa Kusini Mh. Juma Nkamia akikumbatiana na mfanyakazi wa TBC Florence Dyauli , pembeni akiponekana Christine Chokunegela , mtangazaji wa TBC -Taifa katika viwanja vya bunge jijini Dodoma.
Nkamia aliwahi kuwa mfanyakazi wa TBC kabla ya kwenda VOA kabla hajaukwaa ubunge..
Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili
24 minutes ago

0 comments:
Post a Comment