Safari zangu za Yokohama , Fukuyama na hiroshima zimeniachia kumbukumbu fulani fulani kichwani...wacha tuone pamoja kwa njia ya picha...
Nimependa mtandao huu wa barabara sambamba na reli....laiti tungeuiga katika miji yetu kule nyumbani ingekuwa safi sana...wacha tusubiri.
Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili
23 minutes ago

0 comments:
Post a Comment