Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, November 27, 2010


Ni hapa.....

Picha ya kumbukumbu; (L-R) Mh. Balozi Sijaona, msikilizaji wetu kutoka Tanzania Ras Franz na Kulia Afisa mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania hapa japani Mr. Francis Mossongo


Mapenzi kwa taifa langu...

Ilikuwa bahati na fahari kubwa kumtembelea balozi wa Tanzania hapa Japani Mh. Salome Sijaona ofisini kwake...sote tulioenda tulifarijika...ni mtu watu kwa taarifa...

0 comments: