Ni hapa.....
Picha ya kumbukumbu; (L-R) Mh. Balozi Sijaona, msikilizaji wetu kutoka Tanzania Ras Franz na Kulia Afisa mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania hapa japani Mr. Francis Mossongo
Mapenzi kwa taifa langu...
Ilikuwa bahati na fahari kubwa kumtembelea balozi wa Tanzania hapa Japani Mh. Salome Sijaona ofisini kwake...sote tulioenda tulifarijika...ni mtu watu kwa taarifa...
Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili
23 minutes ago

0 comments:
Post a Comment