Mwanamuziki wa kizazi kipya Mwanafalsafa anatamba na kibao chake hicho Unanitega! ambacho kinavuma hivi sasa. Ukisikiliza kwa makini utasikia gitaa linalofuatiza taratibu mashairi , hilo linapigwa na Pauline Zongo (pichani)
...mwanamuziki mwenye sauti tamu sana ambaye awali aliwahi kupigia TOT. Fuatilia wimbo huo , au mdundo maana umri ndio kigezo cha ladha...Take 5...Mwanafalsafa...
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
7 hours ago

0 comments:
Post a Comment