Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, November 14, 2010

Mwanamuziki wa kizazi kipya Mwanafalsafa anatamba na kibao chake hicho Unanitega! ambacho kinavuma hivi sasa. Ukisikiliza kwa makini utasikia gitaa linalofuatiza taratibu mashairi , hilo linapigwa na Pauline Zongo (pichani)

...mwanamuziki mwenye sauti tamu sana ambaye awali aliwahi kupigia TOT. Fuatilia wimbo huo , au mdundo maana umri ndio kigezo cha ladha...Take 5...Mwanafalsafa...

0 comments: