Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, November 14, 2010

Serikali ya Tanzania inajiandaa kujenda barabara ya lami itakayopita katikati ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Baadhi ya wanamazingira wanasema kuwa hiyo itaharibu uasili wa hifadhi hiyo na kuvuruga utalii ingawa wengine wanasema kuwa hiyo itaongeza kipato cha utalii na kuinua maisha ya watu wa eeo hilo na mikoa ya Mara na Arusha inayohitaji sana barabara ya lami katika eneo hilo.

Mdau Charles Ngereza...anaungana na wanaosema barabara hiyo ni muhimu...mie niko kati kwa kati weye je?

0 comments: