Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, January 30, 2011

Hivi majuzi mdau Willy Ngoya Mkurugenzi wa kampuni ya uuzaji wa magari ya Wilna International co,iliyo na makao yake hapa Japani ambaye alikwenda Tanzania na hapo alishuhudia vituko vya barabarani vya madereva mbali na kuwepo wito kila kona kuwa 'wabadilike' kunusuru roho za watu.









(Picha na Willy Ngoya// globalpublishers)

0 comments: