Hivi majuzi mdau Willy Ngoya Mkurugenzi wa kampuni ya uuzaji wa magari ya Wilna International co,iliyo na makao yake hapa Japani ambaye alikwenda Tanzania na hapo alishuhudia vituko vya barabarani vya madereva mbali na kuwepo wito kila kona kuwa 'wabadilike' kunusuru roho za watu. 




(Picha na Willy Ngoya// globalpublishers)
UZINDUZI WA YANGA DAY 2026 | BUKOMBE, GEITA | AZAMTV
36 minutes ago

0 comments:
Post a Comment