Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, February 27, 2011

Jiji la Ueno lipo katika viunga vya Tokyo. Hapo kuna mtaa mmoja maarufu sana wa kibiashara nauita 'mtaa wa sikukuu'. Hapo kuna mishemishe za kutosha .

lakini upekee wa mtaa huu ni uuzaji wao wa vyakula vya baharini, samaki, pweza, kombe , konokono bahari , sato'sijui wa Mwanza?'
Hata matunda ya vijiti, mapapai, mananasi na stroberi yanapatikana. Ooh nimekumbuka wanauza ukwaju na urojo na mishikaki ya siki kama kwetu Forodhani, Unguja. hebu tembelea mtaa huo kwa njia ya picha!


0 comments: