Kuna mdau kaniletea hii picha na maelezo kuwa...Mti huu ukibahatika kuuona , chimba kamzizi kake chemsha , kunywa nusu kijiko cha chai....magonjwa yote sugu yanaondoka ndani ya saa moja....lakini utakayokutana nayo usimwambie mtu duh...
Shukran mdau...
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment