Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, April 14, 2011

Kuna mdau kaniletea hii picha na maelezo kuwa...Mti huu ukibahatika kuuona , chimba kamzizi kake chemsha , kunywa nusu kijiko cha chai....magonjwa yote sugu yanaondoka ndani ya saa moja....lakini utakayokutana nayo usimwambie mtu duh...

Shukran mdau...

0 comments: